Jaza na rudisha fomu kupitia ujamaahiphop@gmail.com
Update: Usisahau kuambatanisha na picha yako kwenye email.
Kama una swali lolote uliza happ chino kwenye comments na utajibiwa haraka iwezekanavyo.
Jaza na rudisha fomu kupitia ujamaahiphop@gmail.com
Update: Usisahau kuambatanisha na picha yako kwenye email.
Kama una swali lolote uliza happ chino kwenye comments na utajibiwa haraka iwezekanavyo.
Comments are closed.
Vipi nikijaza humu si ina maana sitaweka picha au
Ndio Sekela, attach picha yako kwenye email utakayotuma… kwahiyo utaattach fomu na picha
sija juwa jinsi ya kujaza fomu
@ Cuthbert.. Kuna sehemu imeandikwa fomu ya kujiunga UHHD.. Click hapo tafadhali
Napenda kujua tulio nje ya mkoa wa Dar tunapata nafasi ya namna gani kwa hili?.
naipenda sana!
vpi wa mkoan tunashiriki vpi?
Sijajua jinsi ya kupost hiyo fomu.
tNiL4AHU45MY
nahitaji kujifunza udjey tu inawezekana
kama hujui kuimba ila unapenda. kuna darasa lakufundishwa ama ni kwa wenye vipaji tu?
huu ni mwanzo wa mapinduzi..i support that.
niaje??? nimechelewa km nikianza jmos ya week ijayo??? ada sh ngap??? na darasa wapi exactly??????